Loading...

HILI NDIYO BALAA LA JANA UWANJA WA TAIFA



Mashabiki wa Simba uzalendo uliwashinda baada ya bao la Amissi Tambwe na kumua kurusha viti uwanjani wakipinga bao hilo, kutokana na kitendo hicho askari wa kutuliza ghasia waliamua kurusha mabomu ya machozi jukwaani.

Mabomu hayo ya machozi yaliwafanya mashabiki wa Simba waliofurika uwanjani hapo kuanza kukimbia hovyo kujinusuru na mabomu hayo huku wengine wakitoka nje kabisa ya uwanja. Mashabiki baadhi wameumia kutokana na vurugu hizo.

Kutokana na vurugu hizo mchezo huo ulisimama kwa dakika kadhaa kabla ya mwamuzi Martin Saanya kutoa kadi nyekundu kwa nahodha wa Simba, Jonas Mkude.

Awali baada ya bao la Yanga, mzee mmoja shabiki wa Simba aliyevalia jezi nyekundu alitaka kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo vya Yanga. Kitendo hicho kiliwaudhi makomandoo wa Yanga ambao walimkamata na kuanza kumpiga kabla ya askari wa kutuliza ghasia kuingilia kati kumnusuru na kipigo hicho.

Kabla ya mechi kuanza Mzee huyo alikuwa amekaa katika mlango wa kuingilia vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji wa Simba.


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mwanga Mpya | Designed By BAKI NASI
Back To Top