Loading...

BREAKING NEWS: Mgogoro wa CUF Wachukua Sura Mpya..Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha Nusura Kutekwa na Wanachama



Filamu ya mgogoro wa CUF sasa imeingia hatua mpya baada ya wanachama watatu kuhojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutaka kumteka mkurugenzi wa uchumi na fedha wa chama hicho, Jorah Bashange.

Chama hicho kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimekuwa na mgogoro wa kiungozi tangu Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alijivua uenyekiti Julai mwaka jana, atangaze nia ya kurejea kwenye uongozi.

Katika tukio la jana linalodaiwa kutokea saa 2.30 asubuhi wakati Bashange akitoka nyumbani kwake, limeripotiwa kituo cha polisi cha Buguruni wilayani Ilala.

Kamanda wa Ilala ambayo kipolisi ni mkoa, Salum Hamduni aliiambia Mwananchi kuwa watuhumiwa hao wanahojiwa na polisi.


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mwanga Mpya | Designed By BAKI NASI
Back To Top