Loading...

BREAKING NEWS: TAARIFA KUTOKA IKULU: RAIS MAGUFULI AMTIMUA KIONGOZI NGULI BILA HURUMA

Rais wa Tanzania Dr. john Pombe Magufuli jana amtimua mkurugenzi mtendaji  wa Halimashauri ya  Mkinga iliyoko katika mkoa wa Tanga ndugu Emmanuel Mkumbo. mim bado naendelea kusema kuwa rais wetu kazi bado anayo kwani watu pamoja na watumishi wote ambao sio waadirifu wapo wengi sana kuliko maelezo

LOWASSA, JK WATEKA MSIBA WA MASABURI

Habari ya rais mstaafu yachukua sura mpya baada ya kukutana na waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa kwenye msiba wa marehemu Dr. Masaburi na kuwaacha hoi wananchi waliohudhuria msibani hapo

PRESIDENT MAGUFULI SPEAKS ABOUT DR. ADIDAS



 John Magufuli, Rais wa Tanzania (kulia) akitoa neno katika kumuaga Didas Masaburi katika viwanja vya Karimjee
 YALIYOJILI JANA
President John Magufuli being among those who participated farewell to the body of Dr. Didas , former Mayor of the City of Dar es Salaam (2010-2015), has invented something, writes Charles William.
Shares farewell to the body this morning in parks Karimjee, President Magufuli said although biography of the deceased has been described only as a wife Janeth patience but he is aware of many of his late.
"In a biography of the deceased spouse has mentioned one but me I know its late very many. And in our African character of the matter is his most ordinary. Even the holy books say King Solomon had more than a thousand wives.
"I was talking with Mr. Kikwete when I said we would be very happy if we could have as many wives as these," he said causing laughter and grunt from the mourners.
Magufuli President explained that the patient's history can not be erased in the city of Dar es Salaam proof of this is many people who met him in his death.
"We're talking here as the children of the deceased is 20 but may be even more than 20.
"Am going to ask too much of you children to be scattered, stick to the first child akawe head of the family, there is a unity of God will lead them, we are all one way and everyone will taste death, and not I, Kikwete nor Lowassa will keyekwepa death," he insisted.
After the dismissal Karimjee body, the procession of mourners have headed for the Chanika for burial.
Various officials showed up the body goodbye with the locals away from the President Magufuli is Edward Lowassa, former Prime Minister; Former President Kikwete; Former Speaker, Anne Makinda and Gharib Bilal, former vice-president.
Paul Makonda, Head of Dar es Salaam; Isaiah Mwita, Mayor of the City of Dar es Salaam; Charles is, the Mayor of Ilala Municipality; Bulembo Abdallah, Chairman of the Association of Parents of the CCM; ministers, members of parliament with heads of various districts of Dar.
Madabida Ramadan, chairman of CCM, said the death of patience is a blow not only to his family but also Chama Cha Mapinduzi.
Kubenea Saed, a Member State of the Ubungo also was among the celebrities who turned out to farewell the body of patience.
In last year's General Election patience was vying strong and Kubenea in the parliamentary poll in the State of Ubungo where (Perseverance) was defeated by 28,000 votes difference.

ESTER BULAYA YAMKUTA MAZITO TENA

ESTER BULAYA, MBUNGE WA JIMBO LA BUNDA MJINI YAMKUTA MAZITO TENA

ESTER Bulaya, Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, mkoani Mara anatarajia kupanda kizimbani Jumatatu ya tarehe 17 Oktoba, mwaka huu ili kutoa ushahidi wake katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge inayomkabili, anaandika Charles William.

Bulaya atalazimika kuhojiwa na kujibu maswali ya mawakili wa upande wa walalamikaji kwa upana zaidi baada ya kiapo chake kuingizwa katika kumbukumbu za Mahakama Kuu, Kanda ya Mwanza.
Hatua hiyo inakuja baada ya Jaji Noel Chacha wa mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi lililowekwa na Costantine Mutalemwa, wakili wa waleta maombi ambaye alikuwa akiomba baadhi ya aya zilizopo katika hati ya kiapo cha Bulaya zifutwe.

Tundu Antiphas Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ndiye wakili wa Bulaya katika kesi hiyo ambapo amepiga kambi mkoani Mara kwa takribani wiki mbili sasa wakati shauri hilo likiendelea.

Katika kesi hiyo namba moja ya mwaka 2015, walalamikaji ni watu wanne wakiongozwa na Magambo Masato, watu hao wamejitambulisha kama wapiga kura katika jimbo la Bunda Mjini huku Steven Wassira, aliyekuwa mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa walalamikaji.

SAMAKI MKUBWA AKUTWA AMEFARIKI UFUKWENI MWA BAHARI HUKO KILWA


Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya samaki huyo huku wengine wakikata vipande vya minofu kwa ajili ya kitoweo

SORROW NEWS

LATEST NEWS
PROFESSOR Ibrahim Lipumba, chairman of the Association of Men (CUF) recognized by the Registrar of Political Parties had attended the funeral of Mustafa Ashura and said "we have lost a spade," writes love Omary.
Prof. Lipumba has issued a statement today on the tragedy of Ashura Mustafa, who grew up a member of the CUF and Member of the Supreme Council of Administration (BKUT) while giving condolences Mburahati in Dar es Salaam.
"Surely we have lost a spade. Ashura was a commitment within the party and was a friend to everyone, "said Prof. Lipumba.
He said that after he wrote a letter of resignation leadership in August last year, Ashura was among the members who go regularly to persuade him to return home to lead the party.
"He did so relentlessly that he would liked to party and he was preceded by his son, and I went to see him," he said.
Addressing the mourners who attended the funeral, Prof. Lipumba said the existence of large numbers of people who turned up at the funeral, reflects the deceased was loved.
Among the dignitaries who attended the funeral is repugnance Mohamed Habib, a former Member of the State of Mkanyageni, South Pemba Region and shadow minister of natural resources at the Parliament 10.
On the disaster on the part of members of the party, most attendees are leaders who sided with the Prof. Lipumba in the period in which the party leadership is in crisis. Ashura has been buried today in the cemetery of Magistrates.
Prof. Lipumba and late Ashura were suspended membership. Later Prof. Lipumba was dismissed and Ashura was waiting to defend themselves.

MASKINI: HAYA NI MAJONZI MAKUBWA KWA PROF. LIPUMBA

Professa Ibrahim  Lipumba (wakwanza) na Marehemu Ashura Mustafa, aliyekua  mwanachama wa CUF na Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi (BKUT)
PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa amehudhuria mazishi ya Ashura Mustafa na kusema “tumepoteza jembe,” anaandika Pendo Omary.
Prof. Lipumba ametoa kauli hiyo leo kwenye msiba wa Ashura Mustafa, aliyekua mwanachama wa CUF na Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi (BKUT) wakati akitoa salamu za rambirambi Mburahati jijini Dar es Salaam.
“Hakika tumepoteza jembe. Ashura alikuwa mtu wa kujituma ndani ya chama na alikuwa rafiki wa kila mtu,” amesema Prof. Lipumba.
Amesema baada ya yeye kuandika barua ya kujiuzulu uongozi Agosti mwaka jana, Ashura alikuwa miongoni mwa wanachama waliokwenda mara kwa mara nyumbani kwake kumshawishi arejee kuongoza chama.
“Alifanya hivyo bila kuchoka kwa kuwa alikuwa akikipenda chama na hata alipokuwa anauguliwa na mtoto wake, nami nilikwenda kumwona,” amesema.
Akizungumza na waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo, Prof. Lipumba amesema kuwepo kwa idadi kubwa ya watu waliojitokeza katika mazishi, kunadhihirisha marehemu alikuwa akipendwa.
Miongoni mwa watu mashuhuri waliohudhuria mazishi ni Mohamed Habib Mnyaa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni, Mkoa wa Kusini Pemba na waziri kivuli kuhusu masuala ya maliasili katika Bunge la 10.
Kwenye msiba huo, kwa upande wa wanachama wa chama hicho, wengi waliohudhuria ni viongozi walioko upande wa Prof. Lipumba katika kipindi ambacho chama hicho kipo kwenye mgogoro wa uongozi. Ashura amezikwa leo kwenye makaburi ya Kisutu.
Prof. Lipumba na marehemu Ashura walisimamishwa uanachama. Baadaye Prof. Lipumba alifukuzwa na Ashura alikuwa anasubiri kujitetea.

HABARI YAKUSIKITISHA: JESHI LA POLIS LAFANYA MAAJABU MAZITO DAR ES SALAAM

Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi wa Kutumia Silaha cha Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kilifanikiwa kukamata watuhumiwa wanne wa ujambazi waliohusika katika mauaji ya askari polisi 4 katika benki ya CRDB iliyopo maeneo ya Mbande, Mbagala jijini Dar es Salaam.

Kamishna wa Kanda hiyo, Kamanda Simon Sirro wakati akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, amesema watuhumiwa hao walikamatwa wakati wa majibizano ya risasi yaliyotokea Oktoba 11, 2016 katika pori la Dondwe lililopo Chanika.

“Kikosi kilifanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja, baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema kuwa ni jambazi na ndiye aliyehusika katika mauaji ya askari polisi huko Mbande,” amesema.

Kamanda Sirro ameongeza kuwa “Baada ya kumkamata mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na tukio hilo akiwa na wenzie saba, alitupeleka mahala walipo wenzake, ila alikimbia, wenzie walipojua polisi wapo maeneo hayo, walianza kurusha risasi ndipo polisi nao wakaanza kurusha risasi.”

Kamanda Sirro amesema kuwa, watuhumiwa hao walizidiwa na mashambulizi ya risasi ambapo walijeruhiwa vibaya na kwamba walifariki dunia wakiwa wanapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Amesema askari polisi walifanikiwa kuipata bunduki ya kijeshi aina ya SMG iliyofutwa usajili ambayo watuhumiwa hao waliipora kutoka mikononi mwa polisi waliowaua mbande ikiwa na risasi 22 ndani ya magazine.

Katika tukio lingine, Kamanda Sirro amesema mnamo Oktoba 11, 2016 maeneo ya magomeni polisi wakiwa doria walifanikiwa kukamata bastola moja aina ya bereta baada ya kutelekezwa na kundi la vijana.

Pia amesema Jeshi la Polisi limekamata watuhumiwa watatu wakiwa na bomu moja la kienyeji, mapanga manne, visu viwili, na bisibisi moja.

Vilevile Jeshi la Polisi Dar es Salaam Oktoba 12, 2016 walikamata panya road zaidi ya 10 maeneo ya Mbagala.

KUTOFANYA MAPENZI MPAKA NDOA NI USHAMBA?

Nina swali ambalo linanitatiza sana haswa pale ninapoulizwa na rafiki zangu

 Swali "Hivi ushamla yule demu?"

Kiukweli kwa confidence huwa najibu hapana kwa sababu tumewekeana ahadi ya kuwa hakuna hicho kitu mpaka ndoa. Sasa cha ajabu ninapojibu hivyo wenzangu huwa hawaamini kwa kuwa mara kadhaa huyu mchumba wangu ambaye tayari nishamposa na kumtolea mahari anakuja nyumbani na kushinda nami muda mwingi.

"Kama hugongi basi unagongewa"

Hayo ndio majibu ya wenzangu.

Namuamini sana huyo msichana kwa sababu i knw ni virgin sio kwa kuambiwa kwa kuiona mimi mwenyewe.

Swali langu ni ushamba au ujinga kusubiri mpaka ndoa?

TANZANIA YAPATA PIGO KIONGOZI MZITO SERIKALINI AFARIKI DUNIA

 Dk. Didas Masaburi, aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es Salaam
DK. Didas Masaburi, aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, amefariki dunia jana saa 3:30 usiku kwa shinikizo la damu, anaandika Faki Sosi.
Dk. Masaburi alifariki akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya kulazwa kwa siku tano kwenye chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na ndugu zake wa karibu na kwamba, tayari mipango mbalimbali ya kusimamia mazishi yake inaendelea kupangwa.
Dk. Masaburi aliwahi kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) na pia mgombea Ubunge katika Jimbo la Ubungo kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana kupitia Chama Cha Mapinduzi na kupata kura 59,514 dhidi ya Saed Kubenea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyepata kura 87,666.
Hata hivyo, baada ya matokeo hayo, Dk. Masaburi hakukubaliana nayo na kuamua kupeleka malalamiko yake mahakamani kupinga kushindwa na Kubenea, baadaye alifuta kesi hiyo.
Miongoni mwa kazi alizofanya Dk. Masaburi ndani ya CCM ni pamoja na kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVICCM) kwa Mkoa wa Dar es Salaam mwaka 1995.
Mwaka 2010 Dk. Masaburi alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Kivukoni ambapo tarehe 23 Desemba mwaka huo, alichaguliwa kuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam.
Kabla ya mauti yake Dk. Masaburi alipelekwa India mara mbili kwa ajili ya matibabu lakini pia alikuwa akiishi na figo moja tangu mwaka 2000.

MASKINI: SAIDA KAROLI NDIO BASI TENA

Muimbaji nguli wa Tanzania aliyetamba na vibao kama Mapenzi Kizunguzungu, Kitobero na nyingine nyingi amesema kuwa ana hofu ya kuwa na meneja kwa sasa kutokana na yaliyomsibu miaka kadhaa nyuma.

Najua, kuna mameneja wazuri katika muziki wa bongo kama meneja wa Diamond Platnumz hata wa Ali kiba. Lakini kuna baadhi ya mapromota na mameneja kwa kweli nina wahofia sana. Alisema Saida Karoli.

Saida Karoli ameeeleza kuwa wakati wake alifanya vizuri sana kimuziki lakini hakuona mafanikio hayo kifedha. Hayo yote ni kutokana na uongozi wake.

Amesema kuwa hata sasa akipata meneja mwingine atahakikisha anajiridhisha kwanza kama anaweza kazi ndio aingie nae mkataba. Saida Karoli amesema jina lake kwenye jukwaa ni kubwa sana kuliko mafanikio aliyonayo, na hii humfanya aamini kuwa alitumika kuwanufaisha watu wengine.

Nilikuwa nikilipwa fedha kidogo sana kutokana na kazi zangu za muziki. Kama mwandishi akitembelea ninapoishi Watanzania wataweza kuelewa ni nini ninazungumzia.

Muziki wa Saida Karoli bado unaendelea kuishi na kuvutia watu mbalimbali licha ya kuwa uliiimbwa miaka mingi nyuma. Diamond Platnumz aliurudia wimbo wake wa Salome na kuongeza vionjo ili kuuboresha na Saida Karoli atapata asilimia 25 ya mauzo yote ya wimbo huo.

HII KIBOKO: ZITTO KABWE AWA TISHIO ATOA MANENO MAZITO KWA CCM BILA WOGA

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimechanganyikiwa na sasa kimepoteza mwelekeo wa kutatua matatizo makubwa yanayoikumba Tanzania hivi sasa.

Akizungumza katika Mkutano wa Kidemokrasia uliofanyika jijini Dar es Salaam leo, Zitto alisema kuchanganyikiwa huko kwa CCM ndiko kunakosababisha serikali ya Rais John Magufuli iseme mengine na katika utekelezaji wake yafanyike mambo mengine.

“Tunatambua kuwa serikali ya Rais Magufuli imeweka mkazo katika kujenga viwanda. Hili ni jambo jema kwa kuwa likitekelezwa vizuri litachochea ukuaji wa ajira kwa vijana nchini. Hata hivyo, pamoja na nia njema, haielekei kwamba serikali ya CCM inaelewa namna ya kutelekeleza lengo hili zuri.

“Kutokana na mkanganyiko wa kifalsafa, serikali haijui ni nani hasa anapaswa kujenga viwanda kati ya serikali yenyewe na sekta binafsi. Matokeo yake imekuwa ikivizia miradi ya sekta binafsi na kukimbilia kuizindua wakati huo huo serikali ikitoa kauli ambazo zinarudisha nyuma ari ya wafanyabiashara wazalendo kuwekeza katika viwanda,” alisema Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini.

Mkutano wa kidemokrasia ni kikao pekee rasmi cha kikatiba katika chama cha ACT- Wazalendo ambapo viongozi na wanachama wanakutana ana kwa ana na kubadilisha mawazo kuhusu chama na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Mkutano huo wa kwanza na wa aina yake hapa nchini umehudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka nchi na vyama marafiki kwa ajili ya kubadilisha uzoefu katika nyanja mbalimbali.

Zitto ambaye amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, alisema nchi sasa inahitaji mwelekeo, falsafa na namna mpya ya kutatua matatizo ya Tanzania; akisema CCM kwa sasa haina mwelekeo wowote – miaka takribani 25 baada ya kuachana na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.

Katika mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam, Zitto alitoa mifano ya masuala mbalimbali yahusuyo uchumi, ajira, jinsia na elimu kupitia hotuba yake iliyokuwa na maneno takribani 5000.

Kuhusu vita dhidi ya rushwa inayoendeshwa na serikali ya Rais Magufuli, Zitto alisema ACT kinaunga mkono juhudi hizo ingawa hadi sasa wanaoshughulikiwa ni mawakala wa rushwa walioko serikalini na si wala rushwa wenyewe.

Mwanasiasa huyo pia aliponda mwenendo wa serikali wa kuzuia shughuli mbalimbali za kisiasa na kusema hakuna namna ambayo nchi inaweza kupambana na ufisadi pasipo kujali misingi mingine ya haki za watu.

“Mtu yeyote anayedai kwamba anaweza kupambana na ufisadi na kuleta maedeleo kwa kukanyanga demokrasia na utawala wa sheria ni mwongo na anastahili kukataliwa na kukemewa mapema kabla hajaota pembe.

“Tunasisitiza kuwa mtu yeyote wa kawaida au kiongozi anayesema kwamba anaweza akapambana na ufisadi kwa kukanyaga misingi ya demokrasia na utawala wa sheria mtu huyo ni fisadi na anataka kujenga himaya mpya ya ufisadi. Mtu huyo, pamoja na mambo yake yote, yafaa akataliwe na kudharauliwa haraka,” alisema.

Katika hatua nyingine, Zitto alisema kwamba juhudi za kuboresha elimu hapa nchini zitakuwa na maana tu endapo walimu ndiyo watakuwa kipaumbele na si madawati wala madarasa. Alisema upatikanaji wa madawati na maabara utakuwa na maana tu endapo walimu watakuwa na motisha ya kufanya kazi.


“Tafiti zinaonyesha kwamba ili kuboresha ubora wa elimu kitu kikubwa na cha msingi kabisa kuliko vyote ni kuwekeza kwa walimu na taaluma ya ualimu. Maeneo muhimu ni mafunzo ya walimu na kuhakikisha kwamba wanakuwa na motisha wa kutosha katika kufanya kazi zao. Bahati mbaya hapa Tanzania serikali na jamii kwa ujumla hatuthamini kazi ya ualimu.

“Taaluma ya ualimu imekuwa ni daraja la kujiokoa baada ya kukosa sehemu zingine. Walimu wetu wanaofundisha katika mazingira magumu sana hatuwathamini na wakati mwingine hata tunawabeza.

Pia alitoa wito kwa asasi za kijinsia kupigia kelele suala la ajira kwa wanawake kwa vile alisema hivi sasa wanaume wanapata ajira zaidi kuliko wanawake, jambo alilosema linapaswa kurekebishwa.

Mwenyekiti huyo wa zamani wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), alitumia fursa hiyo kueleza kuhusu changamoto za ajira kwa vijana hapa nchini; akisema zaidi ya theluthi mbili ya nguvukazi iiyopo nchini haijaajiriwa katika sekta rasmi.
Mbele ya waliohudhuria mkutano huo kutoka ndani na nje ya nchi, Zitto alieleza kusikitishwa kwake na mwenendo wa nchi za Kiafrika katika siku za karibuni, aliosema unafanana na hali ilivyokuwa kwenye miaka ya 1960.

“Tunashuhudia uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu katika mataifa ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sudani ya Kusini na Ethiopia. Machafuko yote haya yanasababishwa na kupuuzwa kwa haki za kiraia na kidemokrasia.


“Tunatoa wito maalumu kwa taasisi za kiraia, taasisi za dini na vyuo vikuu katika bara la Afrika kusimama imara katika kulinda utawala wa sheria na demokrasia ya vyama vingi. Tunazitaja taasisi hizi kwa sababu kazi zao na uwepo wao unategemea sana uwepo wa demokrasia katika nchi yoyote duniani. Demokrasia ya vingi ikichezewa na hatimaye kufififshwa taasisi za kiraia, taasisi za dini na vyuo vikuu haviwezi pia kuwa na uwezo wa kufanya kazi zao kwa uhuru.

“Chama chetu kinamtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila aheshimu Katiba ya nchi hiyo na kuruhusu uchaguzi kufanyika kama ilivyopangwa ili kuwezesha mpito wa kidemokrasia kwa amani kabisa. Tanzania haiwezi kuendelea kupokea wakimbizi wa kongo kwa makosa ya wanasiasa wanaong’ang’ania madaraka kinyume na Katiba,” alisema Zitto.

Mwisho
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mwanga Mpya | Designed By BAKI NASI
Back To Top